Posts

Showing posts with the label FURAHA YA WAZAZI

Siku ya wanawake Duniani na kauli mbiu ya CHOCHEA MABADILIKO KULETA USAWA WA KIJINSIA.

Image
Siku ya wanawake Duniani na kauli mbiu ya CHOCHEA MABADILIKO KULETA USAWA WA KIJINSIA. Siku ya Wanawake ilianza mwanzoni mwa miaka ya 1900 kwa kupitia wanawake wafanyakazi wa sekta ya viwanda nchini Marekani walioandamana kupinga mazingira duni ya kazi zao, walilalamikia ukosefu wa huduma za kijamii na kuwepo kwa vitendo vya unyanyasaji katika ajira. Kutokana na hali hiyo, nchi ya Marekani ilikubali kuwa na siku ya maadhimisho ya kitaifa ili kutafakari masuala mbalimbali yanayohusu haki na ustawi wa  wanawake.   Baadaye Umoja wa Mataifa ulipaoanzishwa mwaka 1945,ilipofika tarehe 8 Machi iliridhiwa iwe Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani. Uamuzi huo wa Umoja wa Mataifa ulitokana na kukubali kwake kwamba masuala ya haki, maendeleo na usawa wa wanawake yalihitaji msukumo maalumu na wa pekee.   Madhumuni ya kuadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ni kuwezesha jamii kupima utekelezaji wa maazimio, matamko, mikataba na itifaki mbalimbali z...

WANGAPI TUNAWAJALI WAZAZI WETU WAKIWA KATIKA STAGE YA UZEE..? STORY HII NI FUNDISHO KWAKO

Image
WANGAPI TUNAWAJALI WAZAZI WETU WAKIWA KATIKA STAGE YA UZEE..? STORY HII NI FUNDISHO KWAKO Mzee mmoja wamiaka 80 alikuwa kakaa na mwanawe wa kiume msomi mwenye umri wa miaka 45. Wakiwa wanaendela kuongea na mzee akimkumbusha mwanae mambo mazuri ya zamani mara jogoo akawika huko nje. Mara yule babu akamuuliza mwanae, “ nini hicho kinapiga kelele mwanangu?” Mtoto akajibu, “ Ni jogoo anawika huyo baba!!” Mzee akatulia kama dakika kisha akauliza tena baada ya jogoo yule kuwika tena, “ Nini hicho kinapiga kelele mwanangu?” Mtoto akajibu tena, “ Ni jogoo anawika huyo baba mbona husikii!!” Wakaendela kuongea kwa dakika chache na kisha babu akauliza tena, “ ni nini hicho kilichokuwa kina piga kelele mwanangu?” Kwa hasira mtoto akajibu, “ baba mbona unakuwa mgumu kuelewa ni jogoo huyo alikuwa anawika,sasa hujaelewa nini hapo baba????” Mzee yule akauliza tena baada ya daikia moja, “mwanangu ni kelele za nini zilezilizosikika?” Safari hii yule mtoto uvumilivu ulimshinda n...