Posts

Showing posts with the label TECHNOLOGY

TEKNOLOJIA NA MABADILIKO YAKE: WAZIRI DKT. FENELLA MUKANGARA AFUNGUA LA 9 LA CTO LA MABADILIKO YA MFUMO WA UTANGAZAJI WA ANALOJIA KWENDA DIJITALI (DBSF) JIJINI ARUSHA

Image
TEKNOLOJIA NA MABADILIKO YAKE: WAZIRI DKT. FENELLA MUKANGARA AFUNGUA LA 9 LA CTO LA MABADILIKO YA MFUMO WA UTANGAZAJI WA ANALOJIA KWENDA DIJITALI (DBSF) JIJINI ARUSHA    Waziri wa Habari, vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenela Mukangara akifuatilia hotuba mbalimbali katika ufunguzi wa Kongamano la 9 la uhamaji wa mfumo wa utangazaji kutoka analojia kwenda dijitali Afrika  2014 (DBSF)ulioanza jijini Arusha. Katikati ni Katibu Mtendaji wa Shirika la Mawasiliano kwa nchi za Jumuia ya Madola (CTO), Tim Unwin akifuatiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Prof. John S.Nkoma. Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Prof. John S.Nkoma akitoa hotuba yake.  Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Prof. John S. Nkoma akizungumza. Baadhi ya waalikwa ambao ni viongozi wa Vituo vya televisheni nchini Tanzania  Baadhi ya wajumbe wa bodi ya Wakuruge...

MABOMBA YA GESI YASHUSHWA :NAIBU WAZIRI MHE. KITWANGA APOKEA SHEHENA YA MWISHO YA MABOMBA YA GESI BANDARI YA MTWARA.

Image
MABOMBA YA GESI YASHUSHWA :NAIBU WAZIRI MHE. KITWANGA APOKEA SHEHENA YA MWISHO YA MABOMBA YA GESI BANDARI YA MTWARA. Naibu Waziri Mhe. Charles Kitwanga (wa pili kutoka kushoto) na Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe. Wilman Kapenjama Ndile, (wa kwanza kulia) wakipata   maelezo kutoka kwa mtaalamu Abshakim Marunda kuhusu namna kisima cha  gesi cha nchi Kavu kinavyofanya kazi.  Kwa mujibu wa Maelezo ya Mjiologia Mwandamizi wa TPDC Bw.George Ngwale hayupo pichani ameeleza kuwa, Mnazi Bay ina jumla ya visima vitano kati ya hivyo visima vine vina gesi  inayochimbwa na kisima kimoja kikavu.  Aidha gesi inayopatikana katika  eneo hili inauzwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) ambao wanatumia  kuzalisha umeme unaosambazwa katika Mikoa ya Lindi na Mtwara. Wa kwanza  kushoto ni Katibu wa Mhe. Naibu Waziri Bw. Mjengwa Ngereja. Na Asteria Muhozya, Mtwara Naibu Waziri wa Nishati na Madini anayesh...

WAANDISHI WA HABARI ZA MAZINGIRA WAELEZWA YALIYOKUWEMO KATIKA MKUTANO WA MABADILIKO YA TABIA NCHI

Image
WAANDISHI WA HABARI ZA MAZINGIRA WAELEZWA YALIYOKUWEMO KATIKA MKUTANO WA MABADILIKO YA TABIA NCHI Afisa Habari kutoka Kitengo cha Habari Umoja wa Mataifa(UNIC), Usia Nkhoma Ledama akizungumza leo jijini Dar es Salaam na waandishi wa habari katika hoteli ya Holiday Inn juu ya changamoto na mafanikio ya mkutano wa mwisho wa Mabadiliko ya Tabianchi (COP 19) na msimamo wa Tanzania na Bara la Afrika kwa ujumla juu ya masuala ya Tabianchi na Mazingira duniani. Kutoka kulia ni M taalamu wa mambo ya Nishati na Mabadiliko ya Tabianchi kutoka Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Bw. Abbas Kitogo, Mwakilishi kutoka Youth of United Nations Association (YUNA) Adam Anthony na mgeni rasmi Naibu Mkurugenzi Msaidizi wa kitengo cha Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Richard Muyungi. Naibu Mkurugenzi Msaidizi wa kitengo cha Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Richard Muyungi akizungumza na waandishi wa habari juu ya mkutano wa mabadiliko ya Tabianchi (C...

HOYCE TEMU AFURAHIA KUPATA SHAHADA YA UZAMILI MAWASILIANO

Image
HOYCE TEMU AFURAHIA KUPATA SHAHADA YA UZAMILI MAWASILIANO Aliyekuwa Miss Tanzania 1999, ambaye pia ni Mtaalam wa Mahusiano na Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania Hoyce Temu akipozi mara baada ya kulamba Nondozzz ya shahada ya Uzamili wa Mawasiliano ya Umma katika Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine jijini Mwanza. Hoyce Temu akipata Ukodak na Mdau wa tasnia ya habari nchini. Hoyce Temu katika pozi na marafiki zake mara baada ya kulamba Nondozz. Pongezi pia ziende kwa Dada Lulu Musa Afisa Uhusiano wa Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira kwa kulamba Nondozz ya shahada ya Uzamili wa Mawasiliano ya Umma katika chuo cha St. Augustine University kwenye mahafali ya 15 ya chuo hicho yaliyofanyika jijini Mwanza mwishoni mwa Juma. Mbali na kula Nondozz kwenye siku hiyo maalum Hoyce Temu ambaye pia ni Mtangazaji wa Kipindi cha Mimi na Tanzania aliamua kufanya mahojiano na baadhi ya wahitimu kwa ajili ya kipindi chake. Mlimbwende Hoyce Temu akizungum...