Posts

Showing posts with the label MATUKIO NA BURUDANI

Msani kutoka tanzania ambaye kwa sasa anayetamba na kibao chake nikumbushe Rayvanny afuata nyayo za Diamond

Image
Msanii wa muziki kutoka WCB Rayvanny, anaetamba na ngoma aliyoshirikishwa na msanii wa Kenya,Bahati, iitwayao “Nikumbushe” anazidi kufuata nyao za boss wake Diamond Platnumz. Rayvanny kutokea label hiyo ambayo kwa sasa inafanya poa kimuziki, ameonekana akipost picha zikimuonesha akifanya show katika studio za Coke zilizopo nchini Kenya. Hii itakuwa ni mara ya pili kwa wasanii wa WCB kwenda kufanya show za ushirikiano na wasani wenzao kutokea bara hili katika studio za Coke. Rayvanny na GalaxiaEver Coke Studio Afrca hufanyika kila mwaka iliwa na lengo la kuwakutanisha wasanii wa muziki kutokea Afrika wanaofanya aina tofauti za muziki. Na Laila Sued

“Eugena Washton” Mshindi Model Mpiga Picha Za Nusu Uchi {PLAYMATE OF THE YEAR} Wa Mwaka 2016,

Image
Model wa Marekani Eugena Washington ametajwa kua mshindi wa “Playmate of the year” kwa mwaka wa 2016. Playmate ni model ambae hupiga picha za nusu uchi nakuwekwa katika kurasa ya mbele ya gazeti la Playboy huko Marekani na mshindi hupewa kiasi cha $100,000 na gari.  Eugena amebahatika kushinda gari ambalo lina tarajia kutoka mwaka huu mwezi wa sita aina ya “124 Flat Spider”, na atakua ndo mmiliki wa kwanza wa aina hiyo ya gari. Eugena pia ni mshindi wa 57 tangu shidano hili lianze lakini pia ni mshindi wa tatu akiwa kama mwanamke mweusi kushinda katika shindano hilo la “Playmate”.

TUNDA LA WAREMBO DIAMOND,MAFIKIZORO WAUA UDOM,CHURA MPYA APATIKANA WAKIFANYA YAO NA BURUDANI .

Image
Msanii nguli wa bongo flavour  Nasibu Abdul “Diamond Platinum’s”,a.a.a Simba pamoja na kundi la muziki la Mafikizolo wakiimba wimbo wao wa Color of Afrika wakati wa Tamasha la Vodacom Kichuo zaidi lillilofanyika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) Mwanamuziki wa kizazi kipya Nasibu Abdul “Diamond Platinum’s” akiwaimbia kwa hisia wakati wa mashabiki wake waliofika kwenye Tamasha la Vodacom Kichuo zaidi lillilofanyika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) jana. Nyomi ya  mashabiki wa muziki waliofika kwenye Tamasha la Vodacom Kichuo zaidi lillilofanyika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) Msanii wa muziki wa kundi la Mafikizolo kutoka Afrika ya kusini,Theo  Kgosinkwe  akionyesha umahiri wake wa kucheza muziki  katika Tamala la Vodacom kichuo zaidi lililofanyika  chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) jana

Kanumba kaondoka na filamu

Image
Kanumba kaondoka na filamu Marehemu Steven Kanumba  By Rhobi Chacha  ( email the author ) In Summary Hata hivyo kwa kuwa jambo hilo gumu na kwa vile kazi ya Mungu haina makosa, kwani yeyote anayemhitaji kwa wakati humchukua pasi na kujali nafasi yake katika jamii inayomzunguka. Kifo ni njia ya kila mmoja na limekuwa ni fumbo kubwa lisilo na majibu kamili.   in Share in Share ...

Mashabiki Watafsiri Zari ana Mimba Baada ya Mdogo wake Diamond Kudaiwa Kuandika Ujumbe Huu

Image
Wakati Diamond yupo Ujerumani kwa ajili ya tour yake ya Ulaya, Jumatano hii katika mitandao ya kijamii hasahasa instagram kunasambaa ujumbe ambao mashabiki wengi wa Diamond wameutafsiri Zari ana mimba nyingine ya Diamond. Mtangazaji wa U heard ya XXL ya Clouds FM, Soudy Brown, alipost picha ya ujumbe huo na kuandika: Doh Blaza kishaloweka kwa Mara nyingine, haya T subiri mdogo wako on ze way. Sudy Baada ya ujumbe huo mashabiki wa Diamond amekuwa na maoni tofauti juu wa swala hilo. Nurashammy Safi sana Diamond waseme tena furaha mpaka nalala naviyato kwakwei kusikiya kama @zarithebosslady najuwa @diamondplatbumz haukosi kitu ila mimi kama shabiki wako ningependa kutowa zawadi ya tiffah Tajibetese Hivi nikweli naweza kufa kwa furaha @diamondplatnumz @zarithebosslady Nurashammy Safi sana @diamondplatnumz kusikiya kama @zarithebosslady ni mama kijacho ju yafuraha nalala na viyato kwakweli Mungu awape riziki Mchagga_wa_mashati Sijui na hii wata...

Zari wa Diamond Adaiwa Kumpa Makavu Laivu Kajala habari kamili ipo apo chini

Image
Kufuatia madai kuwa msanii wa filamu Bongo, Kajala Masanja amekuwa na katabia ka’ kujiweka kimahaba kwa Nasibu Abdul ‘Diamond’ wakati Zarinah Hassan ‘Zari’ akiwa Sauzi, madai yametua mezani mwa gazeti hili kuwa, kimenuka kati ya Zari na Kajala. Chanzo chetu makini ambacho kimeomba jina lake lisitajwe gazetini kimedai kuwa, hivi karibuni baada ya Zari kupata ubuyu huo wa kuchovyewa penzi lake, alitafuta simu ya Kajala kisha kumpigia na kumpa makavu kuwa, asimuingilie kwenye himaya yake. “Siku moja nilikuwa na Kajala, mara ikaingia simu ambapo alipopokea akasikia sauti ya Zari, basi unaambiwa akamsema sana juu ya kuingilia penzi lake, Kajala akawa kimyaa, wala hajajibu lolote, inavyoonekana alipewa makavu,” alidai mtoa habari huyo. Baada ya kupata habari hiyo, paparazi wetu alimtafuta Kajala ili kuzungumzia madai hayo ambapo alipokea simu na kupewa mkanda mzima, alishangaa na kuuliza: “Nyie nani kawaletea hizo habari, jamani watu wambeya sa...

Uzimaji wa simu feki na Dhana ya kupanga ni kuchagua -2

Image
Uzimaji wa simu feki na Dhana ya kupanga ni kuchagua -2 Wiki iliyopita msomaji wetu aliamua kupasuaji jipu kuhusu mada ya uzimaji simu feki, mawazo yake tumeyaheshimu na leo anaendelea kutoa hoja yake, fuatana naye: Ikumbukwe pia kuwa idadi kuwa ya Watanzania wanaotumia huduma za simu za mkononi imeongezeka miaka ya karibuni kwa sababu ya kupatikana kwa urahisi na bei nafuu kwa simu na vifaa vyake. Ikiwa simu hizi zitazuiwa kwa kigezo cha kutokuwa halisi kwa sababu yoyote itakayotolewa na taasisi yetu ya umma (Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania), Watanzania wengi wanaotumia simu hizi watakosa huduma hii. Wengi ni watu maskini wasio na uwezo wa kununua simu orijino za bei mbaya. Kwao hii ni anasa kubwa mno ambayo labda wapanga sera hawaioni kwa sababu kwao milioni ni fedha ndogo. Najua watakuja na hoja nyingi za kuhalalisha kuzima simu hizi feki baada ya hapa, ila tuangalie na mambo haya ya msingi. Tanzania inajiandaa kisera na kiutendaji kwenda kwenye nchi ya uchum...

Kigogo wa Serikali Amnasa Mkewe Gesti!

Image
Kigogo wa Serikali Amnasa Mkewe Gesti! Sakina Kisukari na njemba aliyekutwa naye gesti. Stori: Francis Godwin, UWAZI IRINGA: Mke wa kigogo mmoja wa serikali Mkoa wa Morogoro ambaye ni mwenyeji wa Wilaya ya Iringa, Kijiji cha Mlangali, Sakina Kisukari, amenaswa akiwa katika nyumba ya kulala wageni (gesti) akiwa na mfanyabiashara ambaye inadaiwa ni mchepuko wake. Tukio hilo la aina yake lilitokea usiku wa kuamkia Jumamosi iliyopita katika nyumba moja ya kulala wageni iliyopo eneo la Mshindo, Iringa baada ya kufyatuka mtego uliowekwa na mume wa mwanamke huyo kwa kushirikiana na gazeti hili kabla ya kuwashirikisha polisi ili kuepusha damu kumwagika. Walivyokutwa gesti. Mtego huo uliwekwa kwa zaidi ya wiki mbili ili kufuatilia nyendo za mwanamke huyo ambaye aliondoka mkoani Morogoro anakoishi na familia yake kikazi na kuelekea Iringa kwa madai ya kwenda kuwasalimia ndugu zake. Hata hivyo, baada ya bosi huyo wa serikali (jina lake limehifadhiwa kwa h...

Dc -Paul Makonda Azindua Vitambulisho Vya Walimu Kupanda Daladala Bure Jijini Dar Es Salaam

Image

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya March 6

Image
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya March 6 ==

Maya: Naitamani sana ndoa na watoto wawili tu!

Image
Maya: Naitamani sana ndoa  na watoto wawili tu! Staa wa ‘long time’ kwenye tasnia ya filamu Bongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’. K ama kawa, kama dawa! Wiki hii tunaye mwanadada wa ‘long time’ kwenye tasnia ya filamu Bongo. Wengi wanamjua kwa jina la Maya lakini jina lake kamili ni Mayasa Mrisho. Paparazi wetu, Hamida Hassan alikutana naye kitaani na kumbana kwa maswali 10. Natumaini una hamu ya kujua kaulizwa maswali gani na yeye akayajibu vipi, kama jibu ni ndiyo, ungana nami hapa chini… Ijumaa: Mambo mdada, siku hizi umepotea kweli, tatizo nini mamy au umeolewa? Maya: Mh! Una maneno wewe, niko bize na mambo ya biashara ndiyo maana. Kwa filamu sifanyi kivile, nafanya kidogo kisha naendelea na mishe za kusaka noti. Ijumaa: Unadhani ni kwa nini soko la filamu kwa sasa limekuwa gumu kiasi cha kila mtu kusema mambo siyo mambo? Maya: Ni kweli soko limekuwa gumu, sababu ni wizi tunaofanyiwa, filamu feki zipo kibao mtaani, ukitoa filamu yako ikakulipa shukuru...

Jichanganye ndani ya Dar Live leo katika Ladies Night

Image
Jichanganye ndani ya Dar Live leo katika Ladies Night

Balaa Jipya Makalio ya Kichina na madhara yake

Image
Balaa Jipya Makalio ya Kichina na madhara yake Stori: Hamida Hassan na Boniface Ngumije D ar es Salaam: Tabia ya baadhi ya wasichana hasa wa mjini kuwa na tamaa ya kuwa na makalio makubwa na hivyo kulazimika kutumia dawa mbalimbali, imekuwa ikishamiri kila siku licha ya serikali kupiga marufuku uingizwaji wa dawa hizo. Jayjay Gazeti hili matoleo yaliyopita liliwahi kuandika jinsi mastaa wengi Bongo wanavyotumia dawa hizo lakini uchunguzi uliofanywa na gazeti hili umebaini kuwa, kasi ya matumizi ya dawa hizo yamekuwa yakishamiri huku waathirika wengi wakijiuguza kwa siri baada ya kupata madhara. Gilla . Katika tukio jipya la hivi karibuni, mwanamke mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Hamisa ambaye alidai ni mke wa mtu alisema kuwa, alishawishiwa na rafiki yake kutumia dawa hizo ili naye awe na ‘zigo’ lakini ameanza kuona zinamletea matatizo. “Nimekuwa nikisikia kuwa dawa hizi zina madhara lakini kuna rafiki yangu mmoja ambaye aliwahi kutumia na yuko poa...

Je Van Gaal ataumaliza msimu vizuri? Aiongoza United kushinda mechi ya 4 mfululizo

Image
Je Van Gaal ataumaliza msimu vizuri? Aiongoza United kushinda mechi ya 4 mfululizo  By Aidan Charlie - March 3, 2016 SHARE Facebook Twitter Mapema wiki iliyopita hakuna shabiki wa ambaye alikuwa anaamini timu yake ingeweza kupata matokeo chanya katika mechi 4 zilikuwa zinafuatana mfululizo za michuano tofauti, kutokana kiwango cha timu yao na udhaifu wa kikosi hicho kilichojaa majeruhi. Lakini chini ya kocha ambaye anaripotiwa kwamba siku zake za kuendelea kuwa mkufunzi mkuu wa timu hiyo zinahesabika – Manchester United imefanikiwa kushinda mechi zote zilizokuwa mbele yao. Baada ya kufungwa 2-1 na FC Mityjlland wiki mbili zilizopita, United waliifungua wiki iliyopita na ushindi wa 3-0 dhidi ya Shrewbury FC katika mchezo wa raundi ya 5 ya kombe la FA. Alhamisi ya wiki iliyopita Van Gaal na vijana wake wakawa na m...