Posts

Showing posts with the label MAISHA

HAYA NAYOMATATIZO YANAYOKUMBA NDOA NA KAZI KWA KILA MWANA NDOA HILI NALO NENO...: LADY JAY DEE AOMBA TALAKA KUTOKA KWA MUME WAKE

Image
HAYA NAYOMATATIZO YANAYOKUMBA NDOA NA KAZI KWA KILA MWANA NDOA HILI NALO NENO...: LADY JAY DEE AOMBA TALAKA KUTOKA KWA MUME WAKE Stori:  Shani Ramadhan UNAWEZA ukakataa lakini ndivyo ilivyotokea, ndoa ya mtangazaji mahiri Bongo, Gardner Gabriel Fikirini Habash ‘Kapteini’ na Mbongo Fleva, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ iliyofungwa miaka 9 iliyopita inadaiwa kuingia kidudu kufuatia mke huyo kuomba aandikiwe talaka, ni Ijumaa Wikienda pekee lenye uthubutu wa kuripoti mkasa wote. Jide akiwa na mumewe Gardner. Kwa mujibu wa chanzo chetu cha kuaminika, Jide au Lady Jaydee alifikia uamuzi huo baada ya Gardner kupata kazi ya kutangazia redio moja nchini Kenya. HABARI KAMILI Mnyetishaji wa kisanga hiki, aliliambia Ijumaa Wikienda kuwa mara baada ya mume huyo kupata mchongo mzima alirudi nyumbani akiwa na furaha na kumwambia mkewe kuhusu bahati hiyo. “Baada ya Gardner kupata mchongo wote wa kazi alikwenda mbi...

WANAWAKE WANAWEZA: UN WASISITIZA UMUHIMU WA KUWA NA UTAMADUNI MZURI WA KUWAENZI WANAWAKE WANAOLETA MABADILIKO KWENYE JAMII

Image
WANAWAKE WANAWEZA: UN WASISITIZA UMUHIMU WA KUWA NA UTAMADUNI MZURI WA KUWAENZI WANAWAKE WANAOLETA MABADILIKO KWENYE JAMII Pichani ni  Mwandishi wa habari na mpiga picha kutoka Ufaransa, Pierre-Yves Ginet akizungumza na wanafunzi wa shule za sekondari mbalimbali za jijini Dar es Salaam na kuwaonyesha picha na kuwapa ufafanuzi wa mambo mbalimbali ambayo wakinamama wamekuwa wakifanya kwa mustakabali kwa kuleta usawa na haki za wanawake duniani. Shirika la Ufaransa la Alliance Francaise de Dar es Salaam liliandaa safari ya maonyesho iliyopewa jina “women in Resistance by the talented French photo-journalist Pierre-Yves Ginet. Mwandishi wa habari huyo mpiga picha Pierre-Yves Ginet ambaye alifanya kazi ya kutafuta wanawake wanaojituma katika maisha yao ya kila siku na kazi zake zimeweza kuwapa ari na moyo wakinamama wengi Afrika. Kati ya 2001 na 2006, alisafiri zaidi ya nchi 17 akipiga picha za wakinamama ambayo katika shug...