Popular posts from this blog
alahh hii ni kali ya mwaka madam Martha!-3
ALAHH HII NI KALI YA MWAKA MADAM MARTHA KUIBUKIA TENA KWA NAAMNA NYINGE KWA WANAUME MAHIRI WA DUNIA ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Kuona hapati upinzani wala katazo lolote, Madam Martha ambaye ugonjwa wake mkubwa ni wanaume watanashati, aliupeleka mkono kifuani kwa denti wake na kuanza kuuchezesha kiaina huku akisifia kifua kipana cha John. Ikawa wakati akijiandaa kupiga hatua zaidi huku John akiwa ameduwaa kama aliyepigwa na shoti ya umeme, ghafla mlango ulifunguliwa bila mtu kubisha hodi
HIZI NDIZO DALILI ZA WANAUME WASIO NA UWAMINIFU KWA WAKE ZAO!
9 Januari 2014 HIZI NDIO DALILI ZA MWANAUME ASIYE MWAMINIFU 1.Muda mchache sana huutumia na wewe. Hii huwa tofauti na kipindi cha mwanzo cha mahusiano yanapoanza. Ambapo muda mwingi hupenda kuwa karibu yak. Kukusikia kama si kukuona kabisa. 2.Hana hamu nawe ya kimapenzi tena. Tofauti na mwanzo au ilivyozoeleka katika mahusiano yenu. Kama yeye alikuwa akikuhitaji faragha, basi sasa hata kama ni wewe ndiye unemuhitaji basi atakujibu amechoka. 3.Atakuwa anakukwepa. Atakwepa mawasiliano nawe atakwepa kuonana na wewe atakwepa majukumu yake ya kawaida aliyokuwa anakufanyia siku zote kipindi mnaanza mahusiano 4.Atakuwa mkali tofauti na mwanzo. Hathamini tena kukubembeleza pale atakapoona amezidisha ukali katika sauti yake. Hathamini chozi lako hata ukilia mbele yake. MADEMU WA TOWN BALAA, HIVI NDIVYO WANAVYO TENGENEZA BIKRA FEKI WANAUME,kuweni makini na Bikra feki...Wanawake wana mbinu nyingi...
Comments
Post a Comment