Popular posts from this blog
alahh hii ni kali ya mwaka madam Martha!-3
ALAHH HII NI KALI YA MWAKA MADAM MARTHA KUIBUKIA TENA KWA NAAMNA NYINGE KWA WANAUME MAHIRI WA DUNIA ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Kuona hapati upinzani wala katazo lolote, Madam Martha ambaye ugonjwa wake mkubwa ni wanaume watanashati, aliupeleka mkono kifuani kwa denti wake na kuanza kuuchezesha kiaina huku akisifia kifua kipana cha John. Ikawa wakati akijiandaa kupiga hatua zaidi huku John akiwa ameduwaa kama aliyepigwa na shoti ya umeme, ghafla mlango ulifunguliwa bila mtu kubisha hodi
ANGALIA PICHA ZA KANGA MOKO BALAA INYE NJE NJE!
Thursday, November 22, 2012 ANGALIA PICHA ZA KANGA MOKO BALAA INYE NJE NJE! Mmmhhh... uchezaji gani huu jamani? Ndo mambo ya akina 'Khanga Moko Laki Si Pesa, Milioni Moja Paketi Money' Tobaaa....! Namna hii tutasalimika kweli? Huyu naye ni memba wa walewale akina 'Kitu T' na 'Kanga Moko' Uuuuwwwiiiii.....mwenzenu nafwa na kiuno hiki... haki ya nani siangalii tena! Mtazame na huyu... nd'o walewale. Tatizo ni hiyo khanga yenyewe moja, ambayo unaambiwa imeloweshwa kidogo na kuwa ndembendembe! Kwanini wabunge wasihofie upotofu wa maadili? Ohooo....! Hawa nao wamevaa vizuri katikati ya mwili, lakini chini ni khanga moja ndembendembe na bado wanajibinua kihasara hasara. Ni balaaa tupu! Apo chachaaaa....! Huu wote ni uchokozi wa akina Khanga Moko CREDIT KWA JULIUSJOSEPH.BLOGGER.COM
Comments
Post a Comment