PICHA ZA TAMASHA LA P-SQUARE PALE LEADERS CLUB, JIJINI DAR ES SALAAM. November 30, 2013

PICHA ZA TAMASHA LA P-SQUARE PALE LEADERS CLUB, JIJINI DAR ES SALAAM.

November 30, 2013

Jijini Dar es Salaam, 24 Nov 2013 . . Siku ya jumamosi pale leaders club ulikuwa ni usiku wa kihistoria kwa tasnia ya burudani nchini Tanzania baada ya wasanii mapacha wa kundi la P Square, Peter na Paul Okoye kutoa burudani ya aina yake ambayo haijapata kutokea kwa muda mrefu hapa nchini kwa maelfu ya mashabiki wa burudani waliojitokeza katika viwanja vya leaders club.

Sasa kama uliikosa siku hiyo, tupia macho katika picha hizi chache, utapata taswira ya siku hiyo.





Comments

Popular posts from this blog

alahh hii ni kali ya mwaka madam Martha!-3

ANGALIA PICHA ZA KANGA MOKO BALAA INYE NJE NJE!