BREAKING NEWS: BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI LATAJWA HIVI SASA

BREAKING NEWS: BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI LATAJWA HIVI SASA

BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI LINATAJWA HIVI SASA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM NA NA KATIBU MKUU KIONGOZI,BALOZI OMBENI SEFUE.

  •  - Hakuna Mabadiliko Ofisi ya Rais
  • - Ofisi ya Makamu Wa Rais - Naibu Waziri Kitwanga amehamishwa na nafasi yake imejazwa na Mhe. Ali Mwalimu
  • - Mwigulu Nchemba amekuwa Naibu Wizara ya Fedha (Sera). Aliyekuwa nafasi hiyo sasa ni Waziri Kamili
  • - Uchumi na Mapato sasa anatoka Janet Mbene na inajazwa na Adam Malima
  • - Asharose Migiro sasa ni Waziri wa Katiba na Sheria
  • - Ulinzi na Kujenga Taifa => Hussein Mwinyi
  • - Mambo ya Ndani - Mathias Chikawe
  • - Afya na Ustawi wa Jamii - Naibu wake sasa ni Waziri Kamili; naibu wa sasa ni Dr. Kebwe S. Kebwe
  • - Mulugo ameondoshwa rasmi serikalini. Nafasi yake imejazwa na Jenista Muhagama
  • - Pindi chana amejaza nafasi ya Ummi Mwalimu - Jinsia na watoto
  • - Mifugo na Maendeleo ya Mifugo - Titus Kamani atakuwa Waziri mpya. Naibu ni Telele na hivyo Wizara nzima imepata mawaziri wapya
  • - Ole Medeye OUT - Simbachawene kachukua nafasi yake (Naibu wa Prof. Tibaijuka)
  • - Naibu Kilimo - Zambi
  • - Habari - Naibu ni Juma Nkamia
  • - Nyalandu amekuwa Waziri Kamili. Naibu ni Mahmood Hassan Mgimwa
  • - Muhongo na Naibu wake wamebakizwa. Nishati atachukua Charles Kitwagwa akiichukua toka kwa Simbachawene

Comments

Popular posts from this blog

alahh hii ni kali ya mwaka madam Martha!-3

ANGALIA PICHA ZA KANGA MOKO BALAA INYE NJE NJE!