Jiji la Mwanza Lasimama Wenje Ashinda Kesi ya Pingamizi Lililowekwa na Mabula Mahakamani
Jiji la Mwanza Lasimama...Wenje Ashinda Kesi ya Pingamizi Lililowekwa na Mabula Mahakamani
Aliyekuwa Mbunge wa Nyamagana Ezekiah Wenje ameshinda pingamizi aliyowekewa na mbunge wa Nyamagana Stanslaus Mabula
Kesi ya msingi itaanza kusilizwa tarehe 6|03|2016.
Jiji limesimama kwa muda watu wanashangili kwa furaha mama ntilie machinga ..wanashingilia taarifa kamili tutawaletea baadae.
Comments
Post a Comment