Jiji la Mwanza Lasimama Wenje Ashinda Kesi ya Pingamizi Lililowekwa na Mabula Mahakamani

Jiji la Mwanza Lasimama...Wenje Ashinda Kesi ya Pingamizi Lililowekwa na Mabula Mahakamani

Aliyekuwa Mbunge wa Nyamagana Ezekiah Wenje ameshinda pingamizi aliyowekewa na mbunge wa Nyamagana Stanslaus Mabula
Kesi ya msingi itaanza kusilizwa tarehe 6|03|2016.
Jiji limesimama kwa muda watu wanashangili kwa furaha mama ntilie machinga ..wanashingilia taarifa kamili tutawaletea baadae.

Comments

Popular posts from this blog

alahh hii ni kali ya mwaka madam Martha!-3

ANGALIA PICHA ZA KANGA MOKO BALAA INYE NJE NJE!